Tuesday, September 8, 2009

Street Dj Yaingia kitaa kwa kitaa,yafanyika mtaa wa Ruponda magomeni Makuti nyuma ya kanisa la Katoliki


Ma-dj wa kitaa wakisubiri kwa hamu shindano lililofanyika katika viwanja vya magomeni makuti mtaa wa Ruponda,nyuma ya kanisa Catholic



mipigo hii je????kila mmoja alionyesha manjonjo yake hakuna aliekubali kuonekana hajui

Majaji waalikwa wakimsifu dj na kumtoa kasoro yake

Mkurugenzi wa 3G na majaji waalikwa wakichagua nani mkali atakaeendelea katika shindano

Wadau wa shindano wakibadilishana mawazo

Hata sisi tunataka kuwa madj wa kitaa