Monday, November 16, 2009

STREET DJ 2009 DSM, YAFIKA UKINGONI


Hawa ndio ma Dj walioingia ktk tano bora, hapa wakijitambulisha kabla ya kuanza kwa shindano lililofanyika Jollys Club siku ya tarehe 14 Nov 2009, jumamosi

Washiriki wakiwa na Muwakilishi wa Serengeti breweries (Dada queen) pamoja na Jaji kiongozi (Mwenye karatasi mkononi)

he he he Wenyeji wa Jolly nao hawakuwa mbali kutaka 'snap' na 'winner' wa street Dj kama unavyowaona wakim'tite' Dj bora wa kitaa 2009 (Si walijua kuna mkwanja hapo)

Mshindi wa Kwanza-Ally Mustapha

Mshindi wa pili James Zacharia akipokea zawadi

Mshindi wa tatu Machumu Makongoro akipokea zawadi

Mshindi wa nne Innocent Willard akipokea zawadi yake