Hawa ndio ma Dj walioingia ktk tano bora, hapa wakijitambulisha kabla ya kuanza kwa shindano lililofanyika Jollys Club siku ya tarehe 14 Nov 2009, jumamosi
Monday, November 16, 2009
STREET DJ 2009 DSM, YAFIKA UKINGONI
Hawa ndio ma Dj walioingia ktk tano bora, hapa wakijitambulisha kabla ya kuanza kwa shindano lililofanyika Jollys Club siku ya tarehe 14 Nov 2009, jumamosi
he he he Wenyeji wa Jolly nao hawakuwa mbali kutaka 'snap' na 'winner' wa street Dj kama unavyowaona wakim'tite' Dj bora wa kitaa 2009 (Si walijua kuna mkwanja hapo)
Mshindi wa Kwanza-Ally Mustapha
Mshindi wa pili James Zacharia akipokea zawadi
Mshindi wa tatu Machumu Makongoro akipokea zawadi
Mshindi wa nne Innocent Willard akipokea zawadi yake
Subscribe to:
Posts (Atom)