Ma-dj wa kitaa wakisubiri kwa hamu shindano lililofanyika katika viwanja vya magomeni makuti mtaa wa Ruponda,nyuma ya kanisa Catholic
mipigo hii je????kila mmoja alionyesha manjonjo yake hakuna aliekubali kuonekana hajui
Majaji waalikwa wakimsifu dj na kumtoa kasoro yake
Mkurugenzi wa 3G na majaji waalikwa wakichagua nani mkali atakaeendelea katika shindano
Wadau wa shindano wakibadilishana mawazo
Hata sisi tunataka kuwa madj wa kitaa