Tuesday, October 5, 2010

M-PESA YASHITUA MJI WA TANGA-USINGIZI SHAAAAAAA*^^%%^


Mratibu mkuu wa shughuli na show za zanzibar star ndugu Emmanuel Kalugira akielekeza jambo kabla ya shughuli kupamba moto

TANGA KWAWAKA MOTO 'M-PESA'


kundi zima la new zanzibar star likikamua jukwaani siku ilipofanywa promosheni ya m pesa mkoa wa tanga kulikuwa na burudani mbalimbali.

Mtarishaji wa shughuli nzima SOPHIA PRODUCTION upande wa tanga akitoa yake machache wakati wa promosheni ya m pesa,
ZANZIBAR STAR WAKIWAPAGAWISHA WANA TANGA


HALOOOOOOOO WANATANGA MPOOOOO


KUNDI ZIMA LA ZANZIBAR MORDEN TAARAB
BAIKOKO!!!
BAIKOKO!!!


Duh, kijana aliacha gumzo kwa wenyeji wa Tanga maana alikuwa anakikata kiuno si mchezo

TANGA ILIPATA FURSA YA HUDUMA YA KUSAJILI NAMBA ZAO

Watazamaji walioshikwa na mdadai waliamua kukikata hapo hapo alipo kama anavyoonekana dada huyu.

BAIKOKO WALIKAMUA KAMA KAWA



Tshirt zilitolewa kwa kila anayeweza kujibu swali la m-pesa au mtandao wa vodacom

'UKIKIPATA KITUMIE'
Majibu ya Kitanga hayo baada ya kuulizwa mbona umevaa hapahapa hiyo Tshirt?



Monday, October 4, 2010

TAMASHA LA WAZI LA M-PESA LILIVYOFANA TANGA


Baadhi ya umati wa watu uliofurika Mjini tanga kwenye promosheni ya m- pesa

Thursday, June 3, 2010

VIMWANA WA MKURANGA NDIO HAWA


Miss Mkuranga Rahma Faiz(katikati) mshindi wa pili Amina Ali (kulia) na Everine Fredy (kushoto)wakipunga mikono yao juu baada ya kutangazwa kuwa washindi wa shindano hilo

Ofisa Udhamini wa kampuni ya simu za mkononi ya vodacom Tanzania. Ibrahim Kaude akimpongeza Miss Mkuranga Rahma Faiz baada ya kushinda shindo hilo liliwashirikisha warembo tisa

Miss Mkuranga 2010
Rahma Faiz

'HAPA VIPI MATANGAZO YA SALAMA CONDOM YANAONEKANA VIZURI'
Miss Mkuranga Rahma Faiz akiwa na mdau muandaaji wa Miss Mkuranga.

Mkurugenzi wa 3G entertainment akiwa na project manager Emmanuel Kalugira pamoja na Ray Mshana aliyekuwa MC katika shughuli nzima siku hiyo

HAWA NDIO WASHIRIKI WALIOFANIKIWA KUNGIA 5 BORA WAKIWA PAMOJA NA MSHINDI WA KWANZA, WA PILI NA WA TATU

Wednesday, June 2, 2010







MAVAZI YALIKUWA YA AINA TATU, VAZI LA BEACH, LA KUBUNI NA LA KUTOKEA


KILA MSHIRIKI NA MANJONJO







Mratibu wa mkoa wa pwani akiwa na mkurugenzi wa 3G wakibadilishana mawazo kabla ya shindano kuanza

Wadhamini toka PSI wakibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa kampuni ya 3G entertainment walioandaa shindano la kumtafuta mrembo wa wilaya ya mkuranga

Mshehereshaji Ray akiongoza jahazi la kumtafuta mlimbwende wa Wilaya ya Mkuranga

Duh Kijotijoti!!!



shughuli imeanza kila mrembo na manjonjo yake, Miavuli ya PSI ilitamba ktk stage ikiwa na chapa ya Salama Condom.

Kamati ya miss Tanzania, Mdahmini Mkuu na Mgeni rasmi wakifuatilia kwa karibu shindano la Miss Mkuranga

Dar Morden Taarab Wana wa Pembe la Ng'ombe, wakitumbuiza washabiki waliokuja toka Town hadi Mkuranga kushuhudia nani ataibuka kidedea wa Miss Mkuranga 2010

Mdau hakuwa mbali kucheck check kila kitu kama kipo sawa
Mkurugenzi wa 3G Entertainment akifungua Rasmi Shindano la Vodacom Miss Tanzania Wilaya ya Mkuranga na kumkaribisha Afisa Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga

Tuesday, June 1, 2010

Mshiriki akitafakari jambo kabla ya kupanda jukwaani kwa maswali na majibu ya kijinsia.


Washiriki wa shindano la miss Mkuranga wakiwa wanajiandaa kutoka back stage tayari kwa shoow ya ufunguzi wa shindano hilo