Thursday, August 27, 2009
Shindano ya kumtafuta balozi wa kiswahili kanda ya kinondoni yamefanyika vatican hotel na washindi na washiriki hawa hapa,jionee vimwana wa '"kiswaz"
washindi wa3 wa shindano la kumtafuta balozi wa kiswahili,katikati ndio mshindi wa kwanza na wa pili kulia ni mshindi wa 3, aliebaki ni mshindi namba 3
Wachezaji wa Twanga pepeta wakikamua nao walikuwepo!!!
watatu!!!!!mh sijui macho ndo yalimfanya ashinde?????
mshindi wa pili katika kinyang'anyiro hicho
mshindi wa kwanza wa mashindano ya kumtafuta balozi wa kiswahili
Mshindi wa kwanza na wa pili katika smile la kuwaaga washabiki
Nani mzuri kunizidi? mrembo akionekana kama anajiuliza
Kweli mrembo wa kiswahili !!!
Kimasa je?
Kazi kubwa walioifanya majaji hawa ni kama ulivyoiona hapo
Wednesday, August 26, 2009
Hawa ndio ma-Dj wa kitaa ktk usahili uliofanyika ofisi za C2c
kikosi kamili cha chinja chinja(majaji)
"muda wa chinja chinja"nani anabaki katika shindano
nani anatoka,walipatikana washindi 25
wenye furaha baada ya mchujo
Subscribe to:
Posts (Atom)