Thursday, August 27, 2009

Shindano ya kumtafuta balozi wa kiswahili kanda ya kinondoni yamefanyika vatican hotel na washindi na washiriki hawa hapa,jionee vimwana wa '"kiswaz"


washindi wa3 wa shindano la kumtafuta balozi wa kiswahili,katikati ndio mshindi wa kwanza na wa pili kulia ni mshindi wa 3, aliebaki ni mshindi namba 3



Wachezaji wa Twanga pepeta wakikamua nao walikuwepo!!!


watatu!!!!!mh sijui macho ndo yalimfanya ashinde?????

mshindi wa pili katika kinyang'anyiro hicho

mshindi wa kwanza wa mashindano ya kumtafuta balozi wa kiswahili

Mshindi wa kwanza na wa pili katika smile la kuwaaga washabiki

Nani mzuri kunizidi? mrembo akionekana kama anajiuliza

Kweli mrembo  wa kiswahili !!!

Kimasa je?

Kazi kubwa walioifanya majaji hawa ni kama ulivyoiona hapo



Wednesday, August 26, 2009

shindano la kumtafuta dj bora wa kitaa limeanza liljulikana kama STREET DJ.Shindano limeandaliwa na 3G Entertainment wakishirikiana na QSSP Group Ltd


Baadhi ya majaji wa Dj wa Kitaa wakipagawishwa na dj aliyekua akifanya vitu vyake











Dj akipata dk 5 za kufahamishwa mashine kabla ya kuanza manjonjo yake

Washiriki waliojifua ktk shindano
la Dj bora wa kitaa (street Dj) katika picha ya pamoja

Hawa ndio ma-Dj wa kitaa ktk usahili uliofanyika ofisi za C2c




kikosi kamili cha chinja chinja(majaji)

"muda wa chinja chinja"nani anabaki katika shindano
nani anatoka,walipatikana washindi 25



wenye furaha baada ya mchujo